KIKAO CHA BARAZA KUU LA JUMUIYA YA WAZAZI TANZANIA CHANFANYIKA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Advertisemen
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk. Edmund Mdolwa akizungumza wakati wa kikao cha kwanza cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyo kilichofanyika leo katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Kikao hicho pamoja na mambo mengine kilitarajiwa kuchagua Wajumbe wa Baraza la Utekelezaji

 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk. Edmund Mdolwa akizungumza wakati wa kikao cha kwanza cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyo kilichofanyika leo katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam. Kikao hicho pamoja na mambo mengine kilitarajiwa kuchagua Wajumbe wa Baraza la Utekelezaji
 Kikao kikiendelea
 Wajumbe ukumbini
 Wajumbe ukumbini

 Hali ya ukumbini
 Wajumbe ukumbini
 Wajumbe ukumbini
 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Dk Edmund Mndolwa akiteta jambo na naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya Tanzania Bara kushauriana jambo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo Zanzibar Abdallah Haj haidar  na kushoto ni Katibu wa NEC Oganaizesheni Pereila Ame Silima
 Wajumbe ukumbini 
 Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya wazazi Tanzanaia  Zanzibar najma Giga na Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo Bara Burhan Ruta wakijadili jambo kwenye kikao hicho
Wajumbe ukumbini. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
Advertisemen

Disclaimer: Gambar, artikel ataupun video yang ada di web ini terkadang berasal dari berbagai sumber media lain. Hak Cipta sepenuhnya dipegang oleh sumber tersebut. Jika ada masalah terkait hal ini, Anda dapat menghubungi kami disini.
Related Posts
Disqus Comments